Swali: Je, inajuzu kwa raia, au baadhi yao, kufanya mgomo wa njaa mbele ya sehemu za watawala na watawala kwa kutaraji kuwatimizia baadhi ya mahitajio yao?
Jibu: Mgomo wa njaa?
Muulizaji: Ndio, mgomo wa njaa kama maandamano na wanasimaa mbele ya sehemu ili…
al-Albaaniy: Hapana, hii ni ada geni na ya kikafiri. Haijuzu kwa waislamu kuitumia kama njia ya kuonyesha kutoridhia kwao baadhi ya mambo yanayotoka serikalini.
- Mhusika: Imaam Muhammad Naaswir-ud-Diyn al-Albaaniy
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: http://www.ibnbaz.se/Artiklarna/101-200/040.html
- Imechapishwa: 05/09/2020
Swali: Je, inajuzu kwa raia, au baadhi yao, kufanya mgomo wa njaa mbele ya sehemu za watawala na watawala kwa kutaraji kuwatimizia baadhi ya mahitajio yao?
Jibu: Mgomo wa njaa?
Muulizaji: Ndio, mgomo wa njaa kama maandamano na wanasimaa mbele ya sehemu ili…
al-Albaaniy: Hapana, hii ni ada geni na ya kikafiri. Haijuzu kwa waislamu kuitumia kama njia ya kuonyesha kutoridhia kwao baadhi ya mambo yanayotoka serikalini.
Mhusika: Imaam Muhammad Naaswir-ud-Diyn al-Albaaniy
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: http://www.ibnbaz.se/Artiklarna/101-200/040.html
Imechapishwa: 05/09/2020
https://firqatunnajia.com/imaam-al-albaaniy-kuhusu-kufanya-migomo/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)