Swali: Ni lipi la wajibu kwa anayeomba idhini pale ambapo hakupewa ruhusa [ya kuingia] au hakufunguliwa, je, ampe udhuru ndugu yake au ni juu yake kutafuta sababu?
Jibu: Allaah (Jalla wa ´Alaa) amesema:
وَإِن قِيلَ لَكُمُ ارْجِعُوا فَارْجِعُوا ۖ هُوَ أَزْكَىٰ لَكُمْ
“Mkiambiwa: “Rejeeni’, basi rejeeni. Huo ni utakaso zaidi kwenu.” (24:28)
Arudi pasi na [ndani ya moyo wake] kuwa na kitu kwa ndugu yake.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Zaad-il-Ma´aad (34) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/mo–1431-11-02.mp3
- Imechapishwa: 15/11/2014
Swali: Ni lipi la wajibu kwa anayeomba idhini pale ambapo hakupewa ruhusa [ya kuingia] au hakufunguliwa, je, ampe udhuru ndugu yake au ni juu yake kutafuta sababu?
Jibu: Allaah (Jalla wa ´Alaa) amesema:
وَإِن قِيلَ لَكُمُ ارْجِعُوا فَارْجِعُوا ۖ هُوَ أَزْكَىٰ لَكُمْ
“Mkiambiwa: “Rejeeni’, basi rejeeni. Huo ni utakaso zaidi kwenu.” (24:28)
Arudi pasi na [ndani ya moyo wake] kuwa na kitu kwa ndugu yake.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Zaad-il-Ma´aad (34) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/mo–1431-11-02.mp3
Imechapishwa: 15/11/2014
https://firqatunnajia.com/ikiwa-hukufunguliwa-mlango-rejea/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)