Swali: Inajuzu kusafiri kwenda kwenye msikiti kwa ajili ya kufanya I´tikaaf?
Jibu: Ikiwa ni ile misikiti mitatu, ndio; msikiti Mtakatifu, msikiti wa Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) na msikiti wa al-Aqswaa. Ama misikiti mingine yote iko sawa; afanye I´tikaaf kwenye msikiti wowote.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Tafsiyr-ish-Shaykh Muhammad bin ´Abdil-Wahhaab (10) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/tf–1431-08-13.mp3
- Imechapishwa: 09/06/2018
Swali: Inajuzu kusafiri kwenda kwenye msikiti kwa ajili ya kufanya I´tikaaf?
Jibu: Ikiwa ni ile misikiti mitatu, ndio; msikiti Mtakatifu, msikiti wa Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) na msikiti wa al-Aqswaa. Ama misikiti mingine yote iko sawa; afanye I´tikaaf kwenye msikiti wowote.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Tafsiyr-ish-Shaykh Muhammad bin ´Abdil-Wahhaab (10) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/tf–1431-08-13.mp3
Imechapishwa: 09/06/2018
https://firqatunnajia.com/iinafaa-kusafiri-kwenda-katika-msikiti-kwa-ajili-ya-kukaa-itikaaf/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)