Swali: Ndugu yangu anamiliki mgahawa katika nchi isiyokuwa ya Kiislamu. Je, afungue mgahawa mchana wa Ramadhaan au asifanye hivo pamoja na kuzingatia ya kwamba katika nchi hiyo wapo pia waislamu?
Jibu: Hapana. Asifungue mgahawa mchana. Huu ni muonekano ambao unapingana na mfumo wa Uislamu. Mchana hakuna kula wala kunywa. Auheshimu mwezi. Asifungue hata kama ni katika nchi ya makafiri. Kwa sababu yeye ni muislamu. Anatakiwa kuuwakilisha Uislamu.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://www.youtube.com/watch?v=uV5S807lDYg
- Imechapishwa: 22/05/2018
Swali: Ndugu yangu anamiliki mgahawa katika nchi isiyokuwa ya Kiislamu. Je, afungue mgahawa mchana wa Ramadhaan au asifanye hivo pamoja na kuzingatia ya kwamba katika nchi hiyo wapo pia waislamu?
Jibu: Hapana. Asifungue mgahawa mchana. Huu ni muonekano ambao unapingana na mfumo wa Uislamu. Mchana hakuna kula wala kunywa. Auheshimu mwezi. Asifungue hata kama ni katika nchi ya makafiri. Kwa sababu yeye ni muislamu. Anatakiwa kuuwakilisha Uislamu.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://www.youtube.com/watch?v=uV5S807lDYg
Imechapishwa: 22/05/2018
https://firqatunnajia.com/iheshimu-ramadhaan-na-usifungue-mgahawa-ramadhaan/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)