Swali: Je, inajuzu kutoka kwenda katika Jihaad bila ya idhini ya mtawala ikiwa wazazi wameridhia?
Jibu: Jihaad pamoja na nani? Ni kiongozi yupi ambaye wewe unapigana Jihaad chini ya uongozi wake? Vilevile nchi zina mikataba. Ni lazima upate idhini ya mtawala ya kwenda katika nchi hiyo. Mambo haya yana misingi yake. Sio mambo ya vurugu. Mtawala akikupa idhini na vilevile wazazi wako wakakupa idhini na wewe ukawa na uwezo, ni sawa.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh ´Aqiydat-is-Saffaariniyyah (14) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/sfranih_14.mp3
Swali: Je, inajuzu kutoka kwenda katika Jihaad bila ya idhini ya mtawala ikiwa wazazi wameridhia?
Jibu: Jihaad pamoja na nani? Ni kiongozi yupi ambaye wewe unapigana Jihaad chini ya uongozi wake? Vilevile nchi zina mikataba. Ni lazima upate idhini ya mtawala ya kwenda katika nchi hiyo. Mambo haya yana misingi yake. Sio mambo ya vurugu. Mtawala akikupa idhini na vilevile wazazi wako wakakupa idhini na wewe ukawa na uwezo, ni sawa.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh ´Aqiydat-is-Saffaariniyyah (14) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/sfranih_14.mp3
https://firqatunnajia.com/idhini-ya-mtawala-kwenda-katika-jihaad/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)