Swali: Ni ipi hukumu ya kuongea wakati wa Khutbah ya ´Iyd?
Jibu: Jambo hili wanachuoni wametofautiana. Wapo ambao wamesema ni haramu kuzungumza wakati imamu anakhutubu siku ya ´Iyd. Wapo wengine wamesema kuwa hakuna neno kwa sababu kuhudhuria sio wajibu. Hivyo kusikiliza pia sio wajibu.
Hapana shaka kwamba katika adabu ni mtu asiongee. Kwa sababu akiongea anaishughulisha nafsi yake, anawashughulisha vilevile wale wengine wanaozungumzishwa au ambao wanamsikiliza na kumtazama.
- Mhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Majmuu´-ul-Fataawaa (16/247)
- Imechapishwa: 14/06/2018
Swali: Ni ipi hukumu ya kuongea wakati wa Khutbah ya ´Iyd?
Jibu: Jambo hili wanachuoni wametofautiana. Wapo ambao wamesema ni haramu kuzungumza wakati imamu anakhutubu siku ya ´Iyd. Wapo wengine wamesema kuwa hakuna neno kwa sababu kuhudhuria sio wajibu. Hivyo kusikiliza pia sio wajibu.
Hapana shaka kwamba katika adabu ni mtu asiongee. Kwa sababu akiongea anaishughulisha nafsi yake, anawashughulisha vilevile wale wengine wanaozungumzishwa au ambao wanamsikiliza na kumtazama.
Mhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Majmuu´-ul-Fataawaa (16/247)
Imechapishwa: 14/06/2018
https://firqatunnajia.com/ibn-uthaymiyn-kuongea-wakati-wa-khutbah-ya-iyd/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)