Swali: Unasemaje juu ya wanawake kuvaa Burqu´ pamoja na kujiachia huku ambako kunapatikana hii leo?
Jibu: Mimi najizuia kufutu hilo. Naona kuwa mwanamke asiivae. Kwa sababu ni fitina. Wako baadhi ya wanawake ambao wanachukulia wepesi. Wanafungua sehemu kubwa ya macho kwa kiasi cha kwamba macho yanaonekana. Baadhi ya wengine wanaonyesha macho hali ya kuwa wamejipaka wanja. Matokeo yake anajiweka katika mtihani. Naona kuwa mwanamke abaki kama alivyokuwa hapo kabla. Afunike uso wake kikamilifu kama anavyofunika kichwa chake.
- Mhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: al-Liqaa’ ash-Shahriy (56) http://binothaimeen.net/content/1289
- Imechapishwa: 12/10/2019
Swali: Unasemaje juu ya wanawake kuvaa Burqu´ pamoja na kujiachia huku ambako kunapatikana hii leo?
Jibu: Mimi najizuia kufutu hilo. Naona kuwa mwanamke asiivae. Kwa sababu ni fitina. Wako baadhi ya wanawake ambao wanachukulia wepesi. Wanafungua sehemu kubwa ya macho kwa kiasi cha kwamba macho yanaonekana. Baadhi ya wengine wanaonyesha macho hali ya kuwa wamejipaka wanja. Matokeo yake anajiweka katika mtihani. Naona kuwa mwanamke abaki kama alivyokuwa hapo kabla. Afunike uso wake kikamilifu kama anavyofunika kichwa chake.
Mhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: al-Liqaa’ ash-Shahriy (56) http://binothaimeen.net/content/1289
Imechapishwa: 12/10/2019
https://firqatunnajia.com/ibn-uthaymiyn-anakemea-niqaab-na-burqu-za-kiujanja/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)