Swali: Mwenye kwenda kwenye kaburi na akamuomba mtu yule amuombee kwa Allaah.
Jibu: Hii ni shirki pia. Kwa sababu maiti hamiliki jambo hilo. Akimwambia “nifanyia uombezi” au “niombee kwa Allaah” basi amemshirikisha Allaah kwa mujibu wa maoni sahihi. Kwani amemuomba kitu asichokiweza.
Swali: Wako wanaodai kwamba haya ni maoni ya Ibn Taymiyyah. Je, ni sahihi?
Jibu: Hapana, hayakusihi kutoka kwa Ibn Taymiyyah. Ibn Taymiyyah amesema wazi kwamba kitendo hichi ni shirki kubwa.
- Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Kashf-ish-Shubuhaat, uk. 57
- Imechapishwa: 28/06/2019
Swali: Mwenye kwenda kwenye kaburi na akamuomba mtu yule amuombee kwa Allaah.
Jibu: Hii ni shirki pia. Kwa sababu maiti hamiliki jambo hilo. Akimwambia “nifanyia uombezi” au “niombee kwa Allaah” basi amemshirikisha Allaah kwa mujibu wa maoni sahihi. Kwani amemuomba kitu asichokiweza.
Swali: Wako wanaodai kwamba haya ni maoni ya Ibn Taymiyyah. Je, ni sahihi?
Jibu: Hapana, hayakusihi kutoka kwa Ibn Taymiyyah. Ibn Taymiyyah amesema wazi kwamba kitendo hichi ni shirki kubwa.
Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Kashf-ish-Shubuhaat, uk. 57
Imechapishwa: 28/06/2019
https://firqatunnajia.com/ibn-taymiyyah-anaona-kufaa-kuliendea-kaburi-na-kuliomba/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)