Swali: Tofauti iliopo juu ya kumpa udhuru mjinga ni miongoni mwa mambo ambayo wanachuoni wametofautiana?
Jibu: Ni masuala makubwa. Msingi ni kwamba hapewi udhuru yule ambaye anaishi kati ya waislamu. Yule aliyefikiwa na Qur-aan na Sunnah hapewi udhuru. Allaah (Jalla wa ´Alaa) amesema:
هَـٰذَا بَلَاغٌ لِّلنَّاسِ
“Hii ni ufikishwaji wa ujumbe kwa watu.” (14:52)
وَأُوحِيَ إِلَيَّ هَـٰذَا الْقُرْآنُ لِأُنذِرَكُم بِهِ وَمَن بَلَغَ
“Nimefunuliwa Wahy hii Qur-aan ili nikuonyeni kwayo na kila itakayomfikia.” (06:19)
Ambaye kafikiwa na Qur-aan na Sunnah si mwenye kupewa udhuru. Yaliyomfikia ni kutokana na kufanya kwake mchezo na kutokujali.
Swali: Lakini mtu anaweza kusema kwamba ni miongoni mwa mambo ambayo wanachuoni wametofautiana?
Jibu: Hapana, hakuna tofauti. Isipokuwa katika mambo nyeti ambayo kweli yanaweza kujificha. Kama mfano wa kisa cha yule aliyewaambia watu wake: “Nichomeni moto.”
- Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Kashf-ish-Shubuhaat (01) http://ajurry.com/safrawy/chorohat-elakida/charh-kachef-chobohat/charh-ibn-baz/01.mp3
- Imechapishwa: 29/03/2019
Swali: Tofauti iliopo juu ya kumpa udhuru mjinga ni miongoni mwa mambo ambayo wanachuoni wametofautiana?
Jibu: Ni masuala makubwa. Msingi ni kwamba hapewi udhuru yule ambaye anaishi kati ya waislamu. Yule aliyefikiwa na Qur-aan na Sunnah hapewi udhuru. Allaah (Jalla wa ´Alaa) amesema:
هَـٰذَا بَلَاغٌ لِّلنَّاسِ
“Hii ni ufikishwaji wa ujumbe kwa watu.” (14:52)
وَأُوحِيَ إِلَيَّ هَـٰذَا الْقُرْآنُ لِأُنذِرَكُم بِهِ وَمَن بَلَغَ
“Nimefunuliwa Wahy hii Qur-aan ili nikuonyeni kwayo na kila itakayomfikia.” (06:19)
Ambaye kafikiwa na Qur-aan na Sunnah si mwenye kupewa udhuru. Yaliyomfikia ni kutokana na kufanya kwake mchezo na kutokujali.
Swali: Lakini mtu anaweza kusema kwamba ni miongoni mwa mambo ambayo wanachuoni wametofautiana?
Jibu: Hapana, hakuna tofauti. Isipokuwa katika mambo nyeti ambayo kweli yanaweza kujificha. Kama mfano wa kisa cha yule aliyewaambia watu wake: “Nichomeni moto.”
Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Kashf-ish-Shubuhaat (01) http://ajurry.com/safrawy/chorohat-elakida/charh-kachef-chobohat/charh-ibn-baz/01.mp3
Imechapishwa: 29/03/2019
https://firqatunnajia.com/ibn-baaz-kuhusu-ujinga-ni-udhuru-iii/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)