Swali: Inajuzu kusema ifuatavyo:
“Allaah na Mtume Wake (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) ndio wamekingwa na kukosea?”
Jibu: Ndio, ni sawa. Allaah hasemi na wala hafanyi makosa. Kila anachokisema ni haki, sifa Zake zote ni haki na matendo yake yote ni haki.
Kuhusiana na Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amekingwa na kukosea katika yale anayofikisha kutoka kwa Allaah. Mitume wote (´alayhimus-Salaam) wamekingwa na kukosea kwa njia ya kwamba hawawezi kumsemea uongo Allaah na hawawezi kukosea kwa yale anayowapa Allaah [kufikisha kwa watu].
- Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh al-´Aqiydah al-Waasitwiyyah (01)
- Imechapishwa: 09/08/2020
Swali: Inajuzu kusema ifuatavyo:
“Allaah na Mtume Wake (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) ndio wamekingwa na kukosea?”
Jibu: Ndio, ni sawa. Allaah hasemi na wala hafanyi makosa. Kila anachokisema ni haki, sifa Zake zote ni haki na matendo yake yote ni haki.
Kuhusiana na Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amekingwa na kukosea katika yale anayofikisha kutoka kwa Allaah. Mitume wote (´alayhimus-Salaam) wamekingwa na kukosea kwa njia ya kwamba hawawezi kumsemea uongo Allaah na hawawezi kukosea kwa yale anayowapa Allaah [kufikisha kwa watu].
Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh al-´Aqiydah al-Waasitwiyyah (01)
Imechapishwa: 09/08/2020
https://firqatunnajia.com/ibn-baaz-kuhusu-mitume-kukosea/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)