Swali: Ni wapi waswaliji wanatakiwa kuiweka mikono yake baada ya Rukuu’?
Jibu: Sunnah ni kuiweka mikono miwili juu ya kifua. Ni mamoja kabla na baada ya swalah. Amesema (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) katika Hadiyth Swahiyh katika yake yaliyopokelewa na Muslim katika “as-Swahiyh” yake kutoka kwa Waa-il ambaye amesema:
“Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) alikuwa akiweka mkono wake wa kuume juu ya kitanga chake cha kushoto.”
Sahl bin Sa´d (Radhiya Allaahu ´anh) amesema:
“Mtu alikuwa akiamrishwa kuweka mkono wake wa kuume juu ya dhiraa yake ya kushoto ndani ya swalah.”
Katika “al-Musnad” ya Imaam Ahmad na wengineo kutoka kwa Swahabah mmoja aliyesema:
“Alimuona Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) akiweka mikono yake juu ya kifua chake ndani ya swalah.”
Waa-il amesema:
“Nilimuona Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) akiweka mikono yake juu ya kifua chake ndani ya swalah.”
Hii ndio Sunnah. Anatakiwa kuiweka juu ya kifua chake wakati wa kusimama ndani ya swalah. Ni mamoja kabla na baada ya Rukuu´. Hakuna tofauti katika hilo. Kwa sababu Waa-il amesema:
“Nilimuona Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) anapokuwa amesimama ndani ya swalah basi huweka mkono wake wa kuume juu ya mkono wake wa kushoto juu ya kifua chake ndani ya swalah.”
- Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/2814/%D8%A7%D9%8A%D9%86-%D9%8A%D8%B6%D8%B9-%D8%A7%D9%84%D9%85%D8%B5%D9%84%D9%8A-%D9%8A%D8%AF%D9%8A%D9%87-%D8%A8%D8%B9%D8%AF-%D8%A7%D9%84%D8%B1%D9%83%D9%88%D8%B9
- Imechapishwa: 10/01/2020
Swali: Ni wapi waswaliji wanatakiwa kuiweka mikono yake baada ya Rukuu’?
Jibu: Sunnah ni kuiweka mikono miwili juu ya kifua. Ni mamoja kabla na baada ya swalah. Amesema (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) katika Hadiyth Swahiyh katika yake yaliyopokelewa na Muslim katika “as-Swahiyh” yake kutoka kwa Waa-il ambaye amesema:
“Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) alikuwa akiweka mkono wake wa kuume juu ya kitanga chake cha kushoto.”
Sahl bin Sa´d (Radhiya Allaahu ´anh) amesema:
“Mtu alikuwa akiamrishwa kuweka mkono wake wa kuume juu ya dhiraa yake ya kushoto ndani ya swalah.”
Katika “al-Musnad” ya Imaam Ahmad na wengineo kutoka kwa Swahabah mmoja aliyesema:
“Alimuona Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) akiweka mikono yake juu ya kifua chake ndani ya swalah.”
Waa-il amesema:
“Nilimuona Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) akiweka mikono yake juu ya kifua chake ndani ya swalah.”
Hii ndio Sunnah. Anatakiwa kuiweka juu ya kifua chake wakati wa kusimama ndani ya swalah. Ni mamoja kabla na baada ya Rukuu´. Hakuna tofauti katika hilo. Kwa sababu Waa-il amesema:
“Nilimuona Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) anapokuwa amesimama ndani ya swalah basi huweka mkono wake wa kuume juu ya mkono wake wa kushoto juu ya kifua chake ndani ya swalah.”
Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/2814/%D8%A7%D9%8A%D9%86-%D9%8A%D8%B6%D8%B9-%D8%A7%D9%84%D9%85%D8%B5%D9%84%D9%8A-%D9%8A%D8%AF%D9%8A%D9%87-%D8%A8%D8%B9%D8%AF-%D8%A7%D9%84%D8%B1%D9%83%D9%88%D8%B9
Imechapishwa: 10/01/2020
https://firqatunnajia.com/ibn-baaz-kuhusu-mahali-pa-mikono-baada-ya-rukuu/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)