Swali: Wanafunzi wengi wanaelea kuwa shirki ni kuwaomba maiti wakutatulie haja. Ama mtu akiwaomba maiti uombezi na du´aa wanasema kuwa sio shirki kubwa na kwamba badala yake inakuwa Bid´ah.
Jibu: Hapana. Hii ni shirki kubwa. Kwa kuwa hawawezi kumuombea na wala hawamuombei. Wote ni wenye kushughulishwa na matendo yao. Kumuomba du´aa na uombezi ni wakati wa uhai wake. Kwa ajili hii wakati ´Umar na Maswahabah (Radhiya Allaahu ´anhum) walipotaka kuomba mvua hawakumuomba Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) awaombee. Badala yake walimuomba du´aa ´Abbaas na Yaziyd bin Aswad. Ingelikuwa jambo hili limewekwa katika Shari´ah basi wangelimuomba du´aa ya mvua Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) na kumwambia awaombee ilihali yuko ndani ya kaburi lake.
- Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Kashf-ish-Shubuhaat, uk. 50
- Imechapishwa: 25/11/2016
Swali: Wanafunzi wengi wanaelea kuwa shirki ni kuwaomba maiti wakutatulie haja. Ama mtu akiwaomba maiti uombezi na du´aa wanasema kuwa sio shirki kubwa na kwamba badala yake inakuwa Bid´ah.
Jibu: Hapana. Hii ni shirki kubwa. Kwa kuwa hawawezi kumuombea na wala hawamuombei. Wote ni wenye kushughulishwa na matendo yao. Kumuomba du´aa na uombezi ni wakati wa uhai wake. Kwa ajili hii wakati ´Umar na Maswahabah (Radhiya Allaahu ´anhum) walipotaka kuomba mvua hawakumuomba Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) awaombee. Badala yake walimuomba du´aa ´Abbaas na Yaziyd bin Aswad. Ingelikuwa jambo hili limewekwa katika Shari´ah basi wangelimuomba du´aa ya mvua Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) na kumwambia awaombee ilihali yuko ndani ya kaburi lake.
Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Kashf-ish-Shubuhaat, uk. 50
Imechapishwa: 25/11/2016
https://firqatunnajia.com/ibn-baaz-kuhusu-kumuomba-duaa-maiti/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)