Swali: Vipi kumwita mwanachuoni jina la “Hujjat-ul-Islaam”?
Jibu: Hakuna neno. Ni katika mlango wa kuitwa kwa ibara. Hoja ya Uislamu maana yake anapotumia hoja na akazungumza kwamba ni mwenye kustahiki na kufaa. Anatoa dalili na akawazindua watu basi yeye ni hoja ya Uislamu kutokana na elimu na fadhilah zake. Hata hivyo hoja ya kihakika ni Qur-aan, Sunnah na maafikiano. Lakini kunasemwa hivo juu ya baadhi ya wanachuoni “Hujjat-ul-Islaam” kwa sababu ya wingi wa elimu zao na kwamba anapozungumza basi anatumiwa kama hoja na kwa sababu yuko na dalili.
- Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Kashf-ish-Shubuhaat, uk. 19
- Imechapishwa: 27/02/2019
Swali: Vipi kumwita mwanachuoni jina la “Hujjat-ul-Islaam”?
Jibu: Hakuna neno. Ni katika mlango wa kuitwa kwa ibara. Hoja ya Uislamu maana yake anapotumia hoja na akazungumza kwamba ni mwenye kustahiki na kufaa. Anatoa dalili na akawazindua watu basi yeye ni hoja ya Uislamu kutokana na elimu na fadhilah zake. Hata hivyo hoja ya kihakika ni Qur-aan, Sunnah na maafikiano. Lakini kunasemwa hivo juu ya baadhi ya wanachuoni “Hujjat-ul-Islaam” kwa sababu ya wingi wa elimu zao na kwamba anapozungumza basi anatumiwa kama hoja na kwa sababu yuko na dalili.
Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Kashf-ish-Shubuhaat, uk. 19
Imechapishwa: 27/02/2019
https://firqatunnajia.com/ibn-baaz-kuhusu-jina-hujjat-ul-islaam/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)