Swali: Ni nini maana ya kushuhudia ya kwamba hapana mungu mwenye kuabuduiwa isipokuwa Allaah? Je, inamtosheleza mtu kuingia katika Uislamu au kuna matendo mengine yanayoilazimu yanayompelekea yule mwenye kuisema kuwa muislamu? Ni ipi tofauti kati ya muislamu na muumini?
Jibu: Kushudia ya kwamba hapana mungu mwenye kuabuduiwa isipokuwa Allaah maana yake ni kutambua na kukubali kwa moyo na kutamka kwa ulimi ya kwamba hakuna anayestahiki kuabudiwa kwa haki isipokuwa Allaah (Subhaanahu wa Ta´ala). Inatosha kumwingiza mtu katika Uislamu kwa sharti akijua maana yake na ukayafanyia kazi muqtadha yake. Ama ikiwa hatendei kazi muqtadha yake; akawa haswali, hafungi na wakati huohuo anasema ya kwamba hapana mungu mwenye kuabuduiwa kwa haki isipokuwa Allaah, lakini hata hivyo akawa haswali, hafungi na wala hatekelezi nguzo za Kiislamu sio muislamu.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: http://alfawzan.af.org.sa/node/16570
- Imechapishwa: 07/05/2017
Swali: Ni nini maana ya kushuhudia ya kwamba hapana mungu mwenye kuabuduiwa isipokuwa Allaah? Je, inamtosheleza mtu kuingia katika Uislamu au kuna matendo mengine yanayoilazimu yanayompelekea yule mwenye kuisema kuwa muislamu? Ni ipi tofauti kati ya muislamu na muumini?
Jibu: Kushudia ya kwamba hapana mungu mwenye kuabuduiwa isipokuwa Allaah maana yake ni kutambua na kukubali kwa moyo na kutamka kwa ulimi ya kwamba hakuna anayestahiki kuabudiwa kwa haki isipokuwa Allaah (Subhaanahu wa Ta´ala). Inatosha kumwingiza mtu katika Uislamu kwa sharti akijua maana yake na ukayafanyia kazi muqtadha yake. Ama ikiwa hatendei kazi muqtadha yake; akawa haswali, hafungi na wakati huohuo anasema ya kwamba hapana mungu mwenye kuabuduiwa kwa haki isipokuwa Allaah, lakini hata hivyo akawa haswali, hafungi na wala hatekelezi nguzo za Kiislamu sio muislamu.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: http://alfawzan.af.org.sa/node/16570
Imechapishwa: 07/05/2017
https://firqatunnajia.com/huyu-sio-muislamu/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)