Swali: Kuna mwanamke ni mzee na hawezi kufunga masiku ya swawm ya Ramadhaan kwa maradhi yasiyotarajiwa kupona. Ana nini juu yake?
Jibu: Alishe. Ikiwa hawezi kufunga, si kwa sasa wala huko baadaye, atolewe chakula:
فِدْيَةٌ طَعَامُ مِسْكِينٍ
“.. basi watoe fidia kuwalisha masikini.” (02:184)
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Zaad-il-Ma´aad (58) http://www.alfawzan.af.org.sa/node/13521
- Imechapishwa: 16/11/2014
Swali: Kuna mwanamke ni mzee na hawezi kufunga masiku ya swawm ya Ramadhaan kwa maradhi yasiyotarajiwa kupona. Ana nini juu yake?
Jibu: Alishe. Ikiwa hawezi kufunga, si kwa sasa wala huko baadaye, atolewe chakula:
فِدْيَةٌ طَعَامُ مِسْكِينٍ
“.. basi watoe fidia kuwalisha masikini.” (02:184)
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Zaad-il-Ma´aad (58) http://www.alfawzan.af.org.sa/node/13521
Imechapishwa: 16/11/2014
https://firqatunnajia.com/huyu-ndiye-mgonjwa-anayefaa-kulisha-ramadhaan/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)