Swali: Kumezuka kundi la walinganiaji wanaosema kuwa wako na mfumo wa Shaykh Ibn Baaz (Rahimahu Allaah) na wanakaa na Ahl-ul-Ahwaa´ na Hizbiyyuun. Wako nao kwa miaka. Je, huu ndio ulikuwa mfumo wa Shaykh (Rahimahu Allaah)?
Jibu: Mfumo wa Shaykh (Rahimahu Allaah) ni wenye kujulikana kupitia vitabu vyake na kwa wale waliokaa naye na kusoma kwake. Wanajua mfumo wao. Yaliyosemwa kwenye swali haikuwa mfumo wao. Huku ni kumsemea uongo na kumzulia Shaykh.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Muhadhara: at-Tahdhiyr min Du´aat-is-Suu’
- Imechapishwa: 05/09/2020
Swali: Kumezuka kundi la walinganiaji wanaosema kuwa wako na mfumo wa Shaykh Ibn Baaz (Rahimahu Allaah) na wanakaa na Ahl-ul-Ahwaa´ na Hizbiyyuun. Wako nao kwa miaka. Je, huu ndio ulikuwa mfumo wa Shaykh (Rahimahu Allaah)?
Jibu: Mfumo wa Shaykh (Rahimahu Allaah) ni wenye kujulikana kupitia vitabu vyake na kwa wale waliokaa naye na kusoma kwake. Wanajua mfumo wao. Yaliyosemwa kwenye swali haikuwa mfumo wao. Huku ni kumsemea uongo na kumzulia Shaykh.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Muhadhara: at-Tahdhiyr min Du´aat-is-Suu’
Imechapishwa: 05/09/2020
https://firqatunnajia.com/huu-ndio-ulikuwa-mfumo-wa-ibn-baaz/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)