Hukumu ya wale wanaowatanguliza Mashaykh zao mbele ya Qur-aan na Sunnah

Swali: Kuna mtu anampenda mwanachuoni wake kiasi cha kwamba anayatanguliza maneno yake mbele ya maneno ya Allaah na Mtume Wake.

Jibu: Haya ni maasi. Ni kufuru ya neema. Akionelea kuwa kitendo hichi ni halali na akamtanguliza Shaykh wake mbele ya Allaah na Mtume Wake ni kufuru kubwa. Hapa ni pale ambapo atahalalisha kitendo hichi.

  • Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
  • Mfasiri: Firqatunnajia.com
  • Marejeo: Sharh Kashf-ish-Shubuhaat (01) http://ajurry.com/safrawy/chorohat-elakida/charh-kachef-chobohat/charh-ibn-baz/01.mp3
  • Imechapishwa: 22/02/2019