Swali: Ni yapi maoni yako juu ya maimamu wa baadhi ya mapote yaliyopinda wanaosema kuwa wamefika katika ngazi ya yakini na kwa hivyo ´ibaadah sio yenye kuwalazimu?
Jibu: Hii ni kufuru kwa mujibu wa maafikiano ya wanachuoni wote. Mwenye kusema kuwa ´ibaadah zimeanguka kwake anakufuru kwa maafikiano. Isipokuwa ikiwa kama amepatwa na wendawazimu.
- Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Kashf-ish-Shubuhaat, uk. 122
- Imechapishwa: 14/01/2017
Swali: Ni yapi maoni yako juu ya maimamu wa baadhi ya mapote yaliyopinda wanaosema kuwa wamefika katika ngazi ya yakini na kwa hivyo ´ibaadah sio yenye kuwalazimu?
Jibu: Hii ni kufuru kwa mujibu wa maafikiano ya wanachuoni wote. Mwenye kusema kuwa ´ibaadah zimeanguka kwake anakufuru kwa maafikiano. Isipokuwa ikiwa kama amepatwa na wendawazimu.
Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Kashf-ish-Shubuhaat, uk. 122
Imechapishwa: 14/01/2017
https://firqatunnajia.com/hukumu-ya-mwenye-kusema-ibaadah-haimlazimu/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)