Swali: Tunawasikia baadhi ya watu wakisema:
أقامها الله وأدامها
“Allaah aisimamishe na kuidumisha.”
Ni ipi hukumu ya hilo?
Jibu: Imepokelewa katika Hadiyth kutoka kwa Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) kwamba pale muadhini anaposema:
قد قامت الصلاة
“Swalah imesimama.”
Akasema:
أقامها الله وأدامها
“Allaah aisimamishe na kuidumisha.”[1]
Lakini Hadiyth ni dhaifu haijengewi hoja.
[1] Abu Daawuud (01/411) na al-Baghawiy katika ”Sharh-us-Sunnah” (02/288). Haafidhw amesema katika “at-Talkhiysw” (01/211) amesema:
“Dhaifu.”
Ni dhaifu kwa mujibu wa al-Albaaniy katika “al-Irwaa´” (01/258).
- Mhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Fataawaa Arkaan-il-Islaam, uk. 287
- Imechapishwa: 04/05/2020
Swali: Tunawasikia baadhi ya watu wakisema:
أقامها الله وأدامها
“Allaah aisimamishe na kuidumisha.”
Ni ipi hukumu ya hilo?
Jibu: Imepokelewa katika Hadiyth kutoka kwa Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) kwamba pale muadhini anaposema:
قد قامت الصلاة
“Swalah imesimama.”
Akasema:
أقامها الله وأدامها
“Allaah aisimamishe na kuidumisha.”[1]
Lakini Hadiyth ni dhaifu haijengewi hoja.
[1] Abu Daawuud (01/411) na al-Baghawiy katika ”Sharh-us-Sunnah” (02/288). Haafidhw amesema katika “at-Talkhiysw” (01/211) amesema:
“Dhaifu.”
Ni dhaifu kwa mujibu wa al-Albaaniy katika “al-Irwaa´” (01/258).
Mhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Fataawaa Arkaan-il-Islaam, uk. 287
Imechapishwa: 04/05/2020
https://firqatunnajia.com/hukumu-ya-msemo-%d8%a3%d9%82%d8%a7%d9%85%d9%87%d8%a7-%d8%a7%d9%84%d9%84%d9%87-%d9%88%d8%a3%d8%af%d8%a7%d9%85%d9%87-2/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)