Swali: Ipi hukumu ya madhiy yakiingia kwenye nguo, yaoshwe au yanyunyuziwe maji na kusafisha?
Jibu: Madhiy ni najisi, lakini najisi yake ni khafifu. Akinyunyuzia maji kwenye nguo yake, yatosha. Ama manii, ambayo ndio asli ya binaadamu, yanayotoka kwa nguvu na kwa shahawa na ladha, haya ni twahara. Yakiingia kwenye nguo au mwili, utatwahirisha. Lakini, kuifanya nguo ikawa safi au kuiosha kabisa ndio bora zaidi.
- Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Nuur ´alaa ad-Darb (770) http://www.alharamain.gov.sa/index.cfm?do=cms.scholarallsubjects&schid=8177
- Imechapishwa: 29/12/2017
Swali: Ipi hukumu ya madhiy yakiingia kwenye nguo, yaoshwe au yanyunyuziwe maji na kusafisha?
Jibu: Madhiy ni najisi, lakini najisi yake ni khafifu. Akinyunyuzia maji kwenye nguo yake, yatosha. Ama manii, ambayo ndio asli ya binaadamu, yanayotoka kwa nguvu na kwa shahawa na ladha, haya ni twahara. Yakiingia kwenye nguo au mwili, utatwahirisha. Lakini, kuifanya nguo ikawa safi au kuiosha kabisa ndio bora zaidi.
Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Nuur ´alaa ad-Darb (770) http://www.alharamain.gov.sa/index.cfm?do=cms.scholarallsubjects&schid=8177
Imechapishwa: 29/12/2017
https://firqatunnajia.com/hukumu-ya-manii-na-madhiy/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)