Hukumu ya kuwinda mbwa mwitu na nyani

Swali: Ni ipi hukumu ya kuwinda mbwa mwitu, nyani, mbwa na kipanga kwa ajili ya kuwauza?

Jibu: Mbwa hauzwi. Kwa sababu Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amekataza thamani ya mbwa. Vivyo hivyo simba na simbamarara hawauzwi. Kwa sababu ni haramu [kuwala].

  • Mhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah ar-Raajihiy
  • Mfasiri: Firqatunnajia.com
  • Marejeo: Fataawaa Mutanawwi´ah (23)
  • Imechapishwa: 28/01/2022