Swali: Ni ipi hukumu ya kuwinda mbwa mwitu, nyani, mbwa na kipanga kwa ajili ya kuwauza?
Jibu: Mbwa hauzwi. Kwa sababu Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amekataza thamani ya mbwa. Vivyo hivyo simba na simbamarara hawauzwi. Kwa sababu ni haramu [kuwala].
- Mhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah ar-Raajihiy
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Fataawaa Mutanawwi´ah (23)
- Imechapishwa: 28/01/2022
Swali: Ni ipi hukumu ya kuwinda mbwa mwitu, nyani, mbwa na kipanga kwa ajili ya kuwauza?
Jibu: Mbwa hauzwi. Kwa sababu Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amekataza thamani ya mbwa. Vivyo hivyo simba na simbamarara hawauzwi. Kwa sababu ni haramu [kuwala].
Mhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah ar-Raajihiy
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Fataawaa Mutanawwi´ah (23)
Imechapishwa: 28/01/2022
https://firqatunnajia.com/hukumu-ya-kuwinda-mbwa-mwitu-na-nyani/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)