Swali: Ni ipi hukumu ya kuua nzi kwa vifaa vya umeme pamoja na kuzingatia kwamba vifaa vya umeme vimeenea misikitini?
Jibu: Bora ni mtu asiue kwa umeme. Kwa sababu umeme ni aina fulani ya moto. Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
“Haadhibu kwa moto isipokuwa Muumba wa moto.”
Nzi ziuawe kwa kitu kingine kama madawa na mfano wake.
- Mhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah ar-Raajihiy
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Fataawaa Mutanawwi´ah (10)
- Imechapishwa: 13/04/2019
Swali: Ni ipi hukumu ya kuua nzi kwa vifaa vya umeme pamoja na kuzingatia kwamba vifaa vya umeme vimeenea misikitini?
Jibu: Bora ni mtu asiue kwa umeme. Kwa sababu umeme ni aina fulani ya moto. Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
“Haadhibu kwa moto isipokuwa Muumba wa moto.”
Nzi ziuawe kwa kitu kingine kama madawa na mfano wake.
Mhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah ar-Raajihiy
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Fataawaa Mutanawwi´ah (10)
Imechapishwa: 13/04/2019
https://firqatunnajia.com/hukumu-ya-kuua-nzi-na-mbu-kwa-vifaa-vya-umeme-vya-kisasa/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)