Swali: Ni ipi hukumu ya kusoma Khutbah ya ijumaa kwa utaratibu ipasavyo (ترتيل)?
Jibu: Kusoma kwa kwa utaratibu ipasavyo inakuwa kwa Qur-aan. Kisichokuwa Qur-aan kisisomwe kwa kwa utaratibu ipasavyo. Lakini anaweza akasoma Khutbah kwa sauti nzuri, kwa kuwa kufanya hivi kunawaathiri wasikilizaji.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Zaad-il-Ma´aad (04) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/mo–1430-5-29.mp3
- Imechapishwa: 10/11/2014
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)