Swali: Ni ipi hukumu ya kushirikisha katika nia?
Jibu: Vipi atashirikisha katika nia? Ikiwa atakusudia kwa kitendo chake asiyekuwa Allaah kuanzia katika msingi wake basi jambo hili ni khatari. Ama ikiwa msingi wa kitendo kimefanywa kwa ajili ya Allaah kisha baadaye kikaingiliwa na kujionyesha haidhuru. Ama ikiwa hali hiyo itaendelea basi yuko khatarini juu ya kubatilika kwa kitendo chake hicho.
- Mhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah ar-Raajihiy
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: ataawaa Mutanawwi´ah (03) http://audio2.islamweb.net/lecturs/aalrrajhee/430/430.mp3
- Imechapishwa: 22/06/2018
Swali: Ni ipi hukumu ya kushirikisha katika nia?
Jibu: Vipi atashirikisha katika nia? Ikiwa atakusudia kwa kitendo chake asiyekuwa Allaah kuanzia katika msingi wake basi jambo hili ni khatari. Ama ikiwa msingi wa kitendo kimefanywa kwa ajili ya Allaah kisha baadaye kikaingiliwa na kujionyesha haidhuru. Ama ikiwa hali hiyo itaendelea basi yuko khatarini juu ya kubatilika kwa kitendo chake hicho.
Mhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah ar-Raajihiy
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: ataawaa Mutanawwi´ah (03) http://audio2.islamweb.net/lecturs/aalrrajhee/430/430.mp3
Imechapishwa: 22/06/2018
https://firqatunnajia.com/hukumu-ya-kushirikisha-katika-nia/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)