Swali: Mimi nina mtoto ambaye ana miaka kumi alifunga siku ya ´Aashuuraa´ na wala hakufunga kabla yake wala baada yake. Ni ipi hukumu ya hilo?
Ibn ´Uthaymiyn: Mashaa Allaah! Ana miaka kumi tu?
Muulizaji: Ndio, ana miaka kumi tu.
Ibn ´Uthaymiyn: Hakuna neno kwake. Kwa sababu kufunga siku moja kabla yake au baada yake ni kwa njia ya ubora tu.
- Mhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: al-Liqaa´ ash-Shahriy (74) http://binothaimeen.net/content/1738
- Imechapishwa: 03/09/2020
Swali: Mimi nina mtoto ambaye ana miaka kumi alifunga siku ya ´Aashuuraa´ na wala hakufunga kabla yake wala baada yake. Ni ipi hukumu ya hilo?
Ibn ´Uthaymiyn: Mashaa Allaah! Ana miaka kumi tu?
Muulizaji: Ndio, ana miaka kumi tu.
Ibn ´Uthaymiyn: Hakuna neno kwake. Kwa sababu kufunga siku moja kabla yake au baada yake ni kwa njia ya ubora tu.
Mhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: al-Liqaa´ ash-Shahriy (74) http://binothaimeen.net/content/1738
Imechapishwa: 03/09/2020
https://firqatunnajia.com/hukumu-ya-kupwekesha-funga-siku-ya-aashuuraa/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)