Swali: Umezungumzia kuhusu mwaka mpya. Ni ipi hukumu ya kupeana hongera juu ya mwaka wa al-Hijriyyah? Tunatakiwa kuchukua msimamo gani juu ya wale wanaopeana hongera?
Jibu: Akikupa hongera mtu basi nawe mrudishie. Usianze kumpa yeyote juu ya hilo. Huu ndio usawa katika masuala haya. Kwa mfano mtu akikwambia:
“Nakupea hongera ya mwaka mpya.”
Nawe mwambie:
“Allaah atupe kheri na Allaah ajaalie iwe ni mwaka wa kheri na baraka.”
Lakini wewe usianze kuwapa watu. Kwa sababu sijui kama imekuja kutoka kwa Salaf kwamba walikuwa wakipeana hongera kwa mwaka mpya. Bali najua kuwa Salaf hawakuuchukua mwezi wa Muharram au mwanzo wa mwaka mpya isipokuwa katika uongozi wa ´Umar bin al-Khattwaab (Radhiya Allaahu ´anh).
- Mhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: al-Liqaa’ ash-Shahriy (44) al-Liqaa’ ash-Shahriy (43) http://binothaimeen.net/content/985
- Imechapishwa: 13/01/2019
Swali: Umezungumzia kuhusu mwaka mpya. Ni ipi hukumu ya kupeana hongera juu ya mwaka wa al-Hijriyyah? Tunatakiwa kuchukua msimamo gani juu ya wale wanaopeana hongera?
Jibu: Akikupa hongera mtu basi nawe mrudishie. Usianze kumpa yeyote juu ya hilo. Huu ndio usawa katika masuala haya. Kwa mfano mtu akikwambia:
“Nakupea hongera ya mwaka mpya.”
Nawe mwambie:
“Allaah atupe kheri na Allaah ajaalie iwe ni mwaka wa kheri na baraka.”
Lakini wewe usianze kuwapa watu. Kwa sababu sijui kama imekuja kutoka kwa Salaf kwamba walikuwa wakipeana hongera kwa mwaka mpya. Bali najua kuwa Salaf hawakuuchukua mwezi wa Muharram au mwanzo wa mwaka mpya isipokuwa katika uongozi wa ´Umar bin al-Khattwaab (Radhiya Allaahu ´anh).
Mhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: al-Liqaa’ ash-Shahriy (44) al-Liqaa’ ash-Shahriy (43) http://binothaimeen.net/content/985
Imechapishwa: 13/01/2019
https://firqatunnajia.com/hukumu-ya-kupeana-hongera-katika-mwaka-mpya-wa-kiislamu/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)