Swali: Ni ipi hukumu ya kuogopa maradhi ya khatari?
Jibu: Hii ni khofu ya kimaumbile. Jitunze na ufanye sababu za kujikinga nayo. Hii ni khofu ya kimaumbile na sio khofu ya ´ibaadah. Wewe unaabudu magonjwa? Hapana. Una khofu ya kimaumbile ili yasije kukusibu. Jitunze na ufanye sababu za kujikinga nayo. Fuata ushauri wa madaktari na ujikinge nayo.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Fath-il-Majiyd (23) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/tahid-25-07-1435-01.mp3
- Imechapishwa: 11/02/2017
Swali: Ni ipi hukumu ya kuogopa maradhi ya khatari?
Jibu: Hii ni khofu ya kimaumbile. Jitunze na ufanye sababu za kujikinga nayo. Hii ni khofu ya kimaumbile na sio khofu ya ´ibaadah. Wewe unaabudu magonjwa? Hapana. Una khofu ya kimaumbile ili yasije kukusibu. Jitunze na ufanye sababu za kujikinga nayo. Fuata ushauri wa madaktari na ujikinge nayo.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Fath-il-Majiyd (23) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/tahid-25-07-1435-01.mp3
Imechapishwa: 11/02/2017
https://firqatunnajia.com/hukumu-ya-kuogopa-maradhi-ya-khatari/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)