Swali: Kuna baadhi ya watu wanakuja wamechelewa na wanaketi sehemu za wenzao, wanatenganisha vitabu vyao au wanaweka vitao vyao sehemu finyu. Tunaomba uwape nasaha?
Jibu: Mtu anatakiwa kuketi pale kikao kilipoishilia. Mtu aliyetangulia katika sehemu ana haki zaidi ya sehemu hiyo. Hakuna haja ya kujibana. Wanafunzi wanatakiwa kuoneana huruma, upole na kupendeleana. Lakini yule mwenye kutangulia ana haki zaidi.
- Mhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah ar-Raajihiy
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: ataawaa Mutanawwi´ah (03) http://audio2.islamweb.net/lecturs/aalrrajhee/430/430.mp3
- Imechapishwa: 22/06/2018
Swali: Kuna baadhi ya watu wanakuja wamechelewa na wanaketi sehemu za wenzao, wanatenganisha vitabu vyao au wanaweka vitao vyao sehemu finyu. Tunaomba uwape nasaha?
Jibu: Mtu anatakiwa kuketi pale kikao kilipoishilia. Mtu aliyetangulia katika sehemu ana haki zaidi ya sehemu hiyo. Hakuna haja ya kujibana. Wanafunzi wanatakiwa kuoneana huruma, upole na kupendeleana. Lakini yule mwenye kutangulia ana haki zaidi.
Mhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah ar-Raajihiy
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: ataawaa Mutanawwi´ah (03) http://audio2.islamweb.net/lecturs/aalrrajhee/430/430.mp3
Imechapishwa: 22/06/2018
https://firqatunnajia.com/hukumu-ya-kukaa-sehemu-ya-mwingine-katika-vikao-vya-elimu/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)