Swali: Ni ipi hukumu ya mwenye kudai kuwa kuna ambao wamekingwa na kukosea mbali na Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam)?
Jibu: Hukumu yake ni kuwa amekosea. Isipokuwa ikiwa kama yuko na elimu au amebainishiwa haki lakini pamoja na hivyo akaendelea kung´ang´ania anahukumiwa ukafiri. Kwa kuwa amemsawazisha mwengine na Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam). Lakini hata hivyo anaweza kupewa udhuru kwa ujinga, kufuata kichwa mchunga na mfano wa nyudhuru zingine kama hizo. Ni lazima kubainisha na kutokuwa na haraka.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: al-Furqaan (10) http://alfawzan.af.org.sa/node/2053
- Imechapishwa: 30/01/2017
Swali: Ni ipi hukumu ya mwenye kudai kuwa kuna ambao wamekingwa na kukosea mbali na Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam)?
Jibu: Hukumu yake ni kuwa amekosea. Isipokuwa ikiwa kama yuko na elimu au amebainishiwa haki lakini pamoja na hivyo akaendelea kung´ang´ania anahukumiwa ukafiri. Kwa kuwa amemsawazisha mwengine na Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam). Lakini hata hivyo anaweza kupewa udhuru kwa ujinga, kufuata kichwa mchunga na mfano wa nyudhuru zingine kama hizo. Ni lazima kubainisha na kutokuwa na haraka.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: al-Furqaan (10) http://alfawzan.af.org.sa/node/2053
Imechapishwa: 30/01/2017
https://firqatunnajia.com/hukumu-ya-anayesema-kuna-asiyekuwa-mtume-amekingwa-na-kukosea/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)