Swali: Ni ipi hukumu ya kufanya punyeto kwa bikira na ambaye kishaoa? Ni ipi njia bora kwa mtu kuachana nalo?
Jibu: Haijuzu kufanya punyeto, sawa kwa ambaye kishaoa na kwa ambaye hajaoa. Ni haramu. Amesema (Jalla wa ´Alaa):
وَالَّذِينَ هُمْ لِفُرُوجِهِمْ حَافِظُونَ إِلَّا عَلَىٰ أَزْوَاجِهِمْ أَوْ مَا مَلَكَتْ أَيْمَانُهُمْ فَإِنَّهُمْ غَيْرُ مَلُومِينَ
“Na ambao wanazihifadhi tupu zao. Isipokuwa kwa wake zao au kwa iliyowamiliki mikono yao ya kuume, basi hao hawalaumiwi.” (23:05-06)
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
Swali: Ni ipi hukumu ya kufanya punyeto kwa bikira na ambaye kishaoa? Ni ipi njia bora kwa mtu kuachana nalo?
Jibu: Haijuzu kufanya punyeto, sawa kwa ambaye kishaoa na kwa ambaye hajaoa. Ni haramu. Amesema (Jalla wa ´Alaa):
وَالَّذِينَ هُمْ لِفُرُوجِهِمْ حَافِظُونَ إِلَّا عَلَىٰ أَزْوَاجِهِمْ أَوْ مَا مَلَكَتْ أَيْمَانُهُمْ فَإِنَّهُمْ غَيْرُ مَلُومِينَ
“Na ambao wanazihifadhi tupu zao. Isipokuwa kwa wake zao au kwa iliyowamiliki mikono yao ya kuume, basi hao hawalaumiwi.” (23:05-06)
Mfasiri: Firqatunnajia.com
https://firqatunnajia.com/hukum-ya-kujitoa-manii/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)