Swali: Kuhusu mada inayozungumzia kuwafanyia uadilifu watoto[1]. Baba akiwapa zawadi watoto waliofaulu na akawanyima waliofeli ni jambo linaloenda kinyume na uadilifu?
Jibu: Kitendo hichi hakiendi kinyume na uadilifu. Kuwapa kwake zawadi ni kwa lengo la kuwashaji´isha juu ya masomo na kuweka misingi. Wakifaulu wengine atawapa vilevile. Lakini endapo mmoja atafaulu katika darasa la kwanza na mwingine katika darasa la pili zawadi zitakuwa sawa? Hapana. Tukienda kwa uadilifu si sawa. Kwa sababu aliye katika darsa la kwanza yuko nyuma ukilinganisha na yule aliye katika darasa la pili.
[1] Tazama https://firqatunnajia.com/mavazi-ya-mwanamke-mbele-ya-wanawake-wenzie-na-maharimu-wake/
- Mhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: al-Liqaa’ ash-Shahriy (36) http://binothaimeen.net/content/816
- Imechapishwa: 23/02/2018
Swali: Kuhusu mada inayozungumzia kuwafanyia uadilifu watoto[1]. Baba akiwapa zawadi watoto waliofaulu na akawanyima waliofeli ni jambo linaloenda kinyume na uadilifu?
Jibu: Kitendo hichi hakiendi kinyume na uadilifu. Kuwapa kwake zawadi ni kwa lengo la kuwashaji´isha juu ya masomo na kuweka misingi. Wakifaulu wengine atawapa vilevile. Lakini endapo mmoja atafaulu katika darasa la kwanza na mwingine katika darasa la pili zawadi zitakuwa sawa? Hapana. Tukienda kwa uadilifu si sawa. Kwa sababu aliye katika darsa la kwanza yuko nyuma ukilinganisha na yule aliye katika darasa la pili.
[1] Tazama https://firqatunnajia.com/mavazi-ya-mwanamke-mbele-ya-wanawake-wenzie-na-maharimu-wake/
Mhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: al-Liqaa’ ash-Shahriy (36) http://binothaimeen.net/content/816
Imechapishwa: 23/02/2018
https://firqatunnajia.com/huku-sio-kwenda-kinyume-kuwafanyia-uadilifu-watoto/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)