Swali: Kuna mwanamke ambaye mume wake amekufa Baahah. Ana nyumba Baahah na nyumba nyingine Makkah. Anataka kwenda katika nyumba yake nyingine Makkah na kukaa eda huko. Inajuzu kwake kufanya hivo?
Jibu: Sio nyumba yake yeye. Ni nyumba ya mume wake. Anatakiwa kukaa eda katika nyumba ya mume wake na si nyumbani kwake. Anatakiwa kukaa eda katika nyumba ambayo mume wake kafa akiwa ndani yake mpaka pale eda yake itapokamilika. Amesema (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam):
“Baki nyumbani mpaka pale eda itakapomalizika.”
Bi maana eda ya kufiliwa.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Ighaathat-il-Lahfaan (86) http://alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/NEW.lite_.mp3
- Imechapishwa: 30/06/2018
Swali: Kuna mwanamke ambaye mume wake amekufa Baahah. Ana nyumba Baahah na nyumba nyingine Makkah. Anataka kwenda katika nyumba yake nyingine Makkah na kukaa eda huko. Inajuzu kwake kufanya hivo?
Jibu: Sio nyumba yake yeye. Ni nyumba ya mume wake. Anatakiwa kukaa eda katika nyumba ya mume wake na si nyumbani kwake. Anatakiwa kukaa eda katika nyumba ambayo mume wake kafa akiwa ndani yake mpaka pale eda yake itapokamilika. Amesema (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam):
“Baki nyumbani mpaka pale eda itakapomalizika.”
Bi maana eda ya kufiliwa.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Ighaathat-il-Lahfaan (86) http://alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/NEW.lite_.mp3
Imechapishwa: 30/06/2018
https://firqatunnajia.com/huko-ndiko-anatakiwa-kukaa-eda/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)