Swali: Kuna wanachuoni wanaosema kuwa imani ni kutambua kwa ulimi na kusadikisha kwa viungo vya mwili, kwamba imani ni moja na kwamba watu wote kimsingi wako sawa. Je, maneno haya ni sahihi?
Jibu: Hapana, si sahihi. Hivi ndivo wasemavyo Hanafiyyah. Wao ndio wanaosema hivo. Inaenda kinyume na ´Aqiydah ya Ahl-us-Sunnah. Kwa ajili hiyo ndio maana wanaitwa “Murji´ah wa Ahl-us-Sunnah”. Hanafiyyah wanaitwa “Murji´ah wa Ahl-us-Sunnah”. Hii ni Irjaa´.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Ighaathat-il-Lahfaan (83) http://alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/Ighastah-15-3-1439-01.mp3
- Imechapishwa: 08/02/2018
Swali: Kuna wanachuoni wanaosema kuwa imani ni kutambua kwa ulimi na kusadikisha kwa viungo vya mwili, kwamba imani ni moja na kwamba watu wote kimsingi wako sawa. Je, maneno haya ni sahihi?
Jibu: Hapana, si sahihi. Hivi ndivo wasemavyo Hanafiyyah. Wao ndio wanaosema hivo. Inaenda kinyume na ´Aqiydah ya Ahl-us-Sunnah. Kwa ajili hiyo ndio maana wanaitwa “Murji´ah wa Ahl-us-Sunnah”. Hanafiyyah wanaitwa “Murji´ah wa Ahl-us-Sunnah”. Hii ni Irjaa´.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Ighaathat-il-Lahfaan (83) http://alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/Ighastah-15-3-1439-01.mp3
Imechapishwa: 08/02/2018
https://firqatunnajia.com/hivo-ndivyo-wasemavyo-hanafiyyah/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)