Hivi ndivo tofauti inatakiwa kufanyiwa kazi

Swali: Lau tutakuwepo katika nchi ambayo wanachuoni wake wanaona kuwa yule mwenye kuacha swalah sio kafiri. Mwenye kuacha swalah akifa katika nchi hii watu wanatakiwa kuacha kumuosha na kumswalia swalah ya jeneza?

Jibu: Yule ambaye anaona kuwa ni kafiri basi asimswalie. Yule asiyeonelea hivo amswalie. Hivi ndivo masuala ya tofauti yanatakiwa kufanyiwa kazi.

  • Mhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
  • Mfasiri: Firqatunnajia.com
  • Marejeo: al-As-ilah al-Qatwariyyah, uk. 26
  • Imechapishwa: 16/02/2019