Swali: Lau tutakuwepo katika nchi ambayo wanachuoni wake wanaona kuwa yule mwenye kuacha swalah sio kafiri. Mwenye kuacha swalah akifa katika nchi hii watu wanatakiwa kuacha kumuosha na kumswalia swalah ya jeneza?
Jibu: Yule ambaye anaona kuwa ni kafiri basi asimswalie. Yule asiyeonelea hivo amswalie. Hivi ndivo masuala ya tofauti yanatakiwa kufanyiwa kazi.
- Mhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: al-As-ilah al-Qatwariyyah, uk. 26
- Imechapishwa: 16/02/2019
Swali: Lau tutakuwepo katika nchi ambayo wanachuoni wake wanaona kuwa yule mwenye kuacha swalah sio kafiri. Mwenye kuacha swalah akifa katika nchi hii watu wanatakiwa kuacha kumuosha na kumswalia swalah ya jeneza?
Jibu: Yule ambaye anaona kuwa ni kafiri basi asimswalie. Yule asiyeonelea hivo amswalie. Hivi ndivo masuala ya tofauti yanatakiwa kufanyiwa kazi.
Mhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: al-As-ilah al-Qatwariyyah, uk. 26
Imechapishwa: 16/02/2019
https://firqatunnajia.com/hivi-ndivo-tofauti-inatakiwa-kufanyiwa-kazi/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)