Alama ya tatu inayofahamisha Ahl-ul-Bid´ah wal-Ahwaa´ ni kufuata matamanio. Hilo limeashiriwa na Allaah (Ta´ala) pale aliposema:
فَأَمَّا الَّذِينَ فِي قُلُوبِهِمْ زَيْغٌ فَيَتَّبِعُونَ مَا تَشَابَهَ مِنْهُ ابْتِغَاءَ الْفِتْنَةِ وَابْتِغَاءَ تَأْوِيلِهِ
“Ama wale ambao katika nyoyo zao mna upotovu hufuata zile [Aayah] zilizo zisizokuwa wazi kwa kutafuta fitina na kutafuta kuzipotosha.” (03:07)
Upotevu ni upindaji kutoka katika haki kwa sababu ya kufuata matamanio[1].
Mfano wa kufuata matamanio baadhi ya walinganizi katika kila zama wanaona kuwa mlinganizi anaweza kulingania katika dini ya Allaah kwa isiyokuwa njia aliyolingania kwayo Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) na Maswahabah zake watukufu.
Suufiyyah wanalingania katika dini ya Allaah (Ta´ala) kwa nyimbo.
al-Ikhwaan al-Muslimuun wanaona ni sawa kulingania katika dini ya Allaah (Ta´ala) kwa filamu, maigizo, kucheza na mfano wa hayo.
Jamaa´at-ut-Tabliygh wanaona ni sawa kulingania katika dini ya Allaah (Ta´ala) kwa utokaji uliyowekewa mpaka na mfano wa hayo.
Ni jambo lisilokuwa na shaka kuwa huku ni kuyapa kipaumbele matamanio juu ya uongofu. Kuna dalili katika Shari´ah ya kwamba pale kitendo kitapokuwa hakiafikiani na Shari´ah ya Allaah kinarudishwa na hakikubaliwi.
[1] al-I´tiswaam (3/172) ya ash-Shaatwibiy.
- Mhusika: Shaykh ´Abdus-Salaam bin Barjas Aal ´Abdil-Kariym
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: al-Jarh wat-Ta´diyl ´indas-Salaf, uk. 62-63
- Imechapishwa: 09/08/2020
Alama ya tatu inayofahamisha Ahl-ul-Bid´ah wal-Ahwaa´ ni kufuata matamanio. Hilo limeashiriwa na Allaah (Ta´ala) pale aliposema:
فَأَمَّا الَّذِينَ فِي قُلُوبِهِمْ زَيْغٌ فَيَتَّبِعُونَ مَا تَشَابَهَ مِنْهُ ابْتِغَاءَ الْفِتْنَةِ وَابْتِغَاءَ تَأْوِيلِهِ
“Ama wale ambao katika nyoyo zao mna upotovu hufuata zile [Aayah] zilizo zisizokuwa wazi kwa kutafuta fitina na kutafuta kuzipotosha.” (03:07)
Upotevu ni upindaji kutoka katika haki kwa sababu ya kufuata matamanio[1].
Mfano wa kufuata matamanio baadhi ya walinganizi katika kila zama wanaona kuwa mlinganizi anaweza kulingania katika dini ya Allaah kwa isiyokuwa njia aliyolingania kwayo Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) na Maswahabah zake watukufu.
Suufiyyah wanalingania katika dini ya Allaah (Ta´ala) kwa nyimbo.
al-Ikhwaan al-Muslimuun wanaona ni sawa kulingania katika dini ya Allaah (Ta´ala) kwa filamu, maigizo, kucheza na mfano wa hayo.
Jamaa´at-ut-Tabliygh wanaona ni sawa kulingania katika dini ya Allaah (Ta´ala) kwa utokaji uliyowekewa mpaka na mfano wa hayo.
Ni jambo lisilokuwa na shaka kuwa huku ni kuyapa kipaumbele matamanio juu ya uongofu. Kuna dalili katika Shari´ah ya kwamba pale kitendo kitapokuwa hakiafikiani na Shari´ah ya Allaah kinarudishwa na hakikubaliwi.
[1] al-I´tiswaam (3/172) ya ash-Shaatwibiy.
Mhusika: Shaykh ´Abdus-Salaam bin Barjas Aal ´Abdil-Kariym
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: al-Jarh wat-Ta´diyl ´indas-Salaf, uk. 62-63
Imechapishwa: 09/08/2020
https://firqatunnajia.com/hivi-ndio-utajua-kuwa-mlinganizi-ni-mpotevu/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)