Swali: Ni ipi hukumu kupangusa juu ya hina inayowekwa nyweleni wakati wa kutawadha?
Jibu: Hakuna neno japokuwa itakuwa ni yenye kuzuia kufika kwa maji. Lakini wakati wa kuoga josho la hedhi na janaba ni lazima kuiondosha. Hina kichwani, japokuwa itakuwa inazuia ufikaji wa maji, hakuna neno wakati wa kutawadha. Lakini wakati wa kuoga josho la hedhi na janaba ni lazima kuiondosha.
- Mhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: al-Liqaa´ ash-Shahriy (68) http://binothaimeen.net/content/1540
- Imechapishwa: 20/02/2020
Swali: Ni ipi hukumu kupangusa juu ya hina inayowekwa nyweleni wakati wa kutawadha?
Jibu: Hakuna neno japokuwa itakuwa ni yenye kuzuia kufika kwa maji. Lakini wakati wa kuoga josho la hedhi na janaba ni lazima kuiondosha. Hina kichwani, japokuwa itakuwa inazuia ufikaji wa maji, hakuna neno wakati wa kutawadha. Lakini wakati wa kuoga josho la hedhi na janaba ni lazima kuiondosha.
Mhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: al-Liqaa´ ash-Shahriy (68) http://binothaimeen.net/content/1540
Imechapishwa: 20/02/2020
https://firqatunnajia.com/hina-kichwani-na-wudhuu/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)