Uko wapi uadilifu wanaodai. Wanasema kuwa pindi tunapotaja mabaya ya Ahl-ul-Bid´ah… Kwanza wao hawataki kabisa utaje mabaya ya Ahl-ul-Bid´ah. [Sauti haiko wazi]. Wameweka Manhaj-ul-Muwaazanaah ili kuwalinda Ahl-ul-Bid´ah. Wanaonelea pindi Salafiyyuun wanapomkosoa mmoja katika vingozi wao wanasema kuwa ni wajibu kutaja pia mazuri yao. Lakini wao wanapowashambulia na kuwatukana Ahl-us-Sunnah kwa matusi mbali mbali, hawatumii Manhaj-ul-Muwaazanaah hata kidogo na kwa hali yoyote ile. Manhaj-ul-Muwaazanaah hii wameiweka kwa kuwakusudia viongozi wa Bid´ah na upotevu na vitabu vya Bid´ah na upotevu. Matendo yao ni ushahidi mkubwa ya kwamba hawakuweka mfumo huu isipokuwa ni kwa sababu ya kutaka kuinusuru batili na Bid´ah na kuihami na kuwahami watu wake.
- Mhusika: ´Allaamah Rabiy´ bin Haadiy al-Madkhaliy
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: http://subulsalam.com/site/audios/HamadOthman/Divers/05Rabee01.mp3
- Imechapishwa: 26/08/2020
Uko wapi uadilifu wanaodai. Wanasema kuwa pindi tunapotaja mabaya ya Ahl-ul-Bid´ah… Kwanza wao hawataki kabisa utaje mabaya ya Ahl-ul-Bid´ah. [Sauti haiko wazi]. Wameweka Manhaj-ul-Muwaazanaah ili kuwalinda Ahl-ul-Bid´ah. Wanaonelea pindi Salafiyyuun wanapomkosoa mmoja katika vingozi wao wanasema kuwa ni wajibu kutaja pia mazuri yao. Lakini wao wanapowashambulia na kuwatukana Ahl-us-Sunnah kwa matusi mbali mbali, hawatumii Manhaj-ul-Muwaazanaah hata kidogo na kwa hali yoyote ile. Manhaj-ul-Muwaazanaah hii wameiweka kwa kuwakusudia viongozi wa Bid´ah na upotevu na vitabu vya Bid´ah na upotevu. Matendo yao ni ushahidi mkubwa ya kwamba hawakuweka mfumo huu isipokuwa ni kwa sababu ya kutaka kuinusuru batili na Bid´ah na kuihami na kuwahami watu wake.
Mhusika: ´Allaamah Rabiy´ bin Haadiy al-Madkhaliy
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: http://subulsalam.com/site/audios/HamadOthman/Divers/05Rabee01.mp3
Imechapishwa: 26/08/2020
https://firqatunnajia.com/hili-ndio-lengo-la-ahl-ul-bidah-kuweka-manhaj-ul-muwaazanaah/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)