Swali: Kuna mwanamke anauliza na kusema, mume wangu ameoa mke wapili katika mji mwingine na yeye [huyo mwanamke] hajui kuwa ni mke wapili. Je, inajuzu kwangu kumpigia simu na kumwambia kwamba yeye ni mke wapili na mimi ndio mke wa kwanza?

Jibu: Hayakuhusu. Akipunguza haki zako, muombe haki zako. Ama ikiwa hakupunguza haki zako, achana naye. Hayakuhusu.

  • Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
  • Mfasiri: Firqatunnajia.com
  • Marejeo: http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/Fathul_25-11-1434_0.mp3
  • Imechapishwa: 20/09/2020