Swali: Kuna mwanamke anauliza na kusema, mume wangu ameoa mke wapili katika mji mwingine na yeye [huyo mwanamke] hajui kuwa ni mke wapili. Je, inajuzu kwangu kumpigia simu na kumwambia kwamba yeye ni mke wapili na mimi ndio mke wa kwanza?
Jibu: Hayakuhusu. Akipunguza haki zako, muombe haki zako. Ama ikiwa hakupunguza haki zako, achana naye. Hayakuhusu.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/Fathul_25-11-1434_0.mp3
- Imechapishwa: 20/09/2020
Swali: Kuna mwanamke anauliza na kusema, mume wangu ameoa mke wapili katika mji mwingine na yeye [huyo mwanamke] hajui kuwa ni mke wapili. Je, inajuzu kwangu kumpigia simu na kumwambia kwamba yeye ni mke wapili na mimi ndio mke wa kwanza?
Jibu: Hayakuhusu. Akipunguza haki zako, muombe haki zako. Ama ikiwa hakupunguza haki zako, achana naye. Hayakuhusu.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/Fathul_25-11-1434_0.mp3
Imechapishwa: 20/09/2020
https://firqatunnajia.com/hayakuhusu/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)