Miongoni mwa maovu yanayofanyika [katika minasaba ya ndoa] ni kwamba baadhi ya wanawake wanakuja na vifaa vya picha na wanawachukua picha walioko pale. Huenda baadhi ya wanaume wapumbavu wakafanya hivo kwa kujificha. Haya pia ni maovu makubwa…
Baya zaidi kuliko hilo ni kwamba baadhi ya watu wanakuja na video camera na wakawachukua video walioko pale. Haya yote yamekuja kutokea kipindi cha nyuma.
Kwa kufupisha ni kwamba kuhudhuria karama ya ndoa ni Sunnah. Lakini kama kutakuwa kuna mambo ya haramu, kama utaweza kuyazuia hivyo hudhuria. Usipoweza usihudhurie.
- Mhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: al-Liqaa´ ash-Shahriy (65) http://binothaimeen.net/content/1459
Miongoni mwa maovu yanayofanyika [katika minasaba ya ndoa] ni kwamba baadhi ya wanawake wanakuja na vifaa vya picha na wanawachukua picha walioko pale. Huenda baadhi ya wanaume wapumbavu wakafanya hivo kwa kujificha. Haya pia ni maovu makubwa…
Baya zaidi kuliko hilo ni kwamba baadhi ya watu wanakuja na video camera na wakawachukua video walioko pale. Haya yote yamekuja kutokea kipindi cha nyuma.
Kwa kufupisha ni kwamba kuhudhuria karama ya ndoa ni Sunnah. Lakini kama kutakuwa kuna mambo ya haramu, kama utaweza kuyazuia hivyo hudhuria. Usipoweza usihudhurie.
Mhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: al-Liqaa´ ash-Shahriy (65) http://binothaimeen.net/content/1459
https://firqatunnajia.com/haya-ni-maovu-makubwa/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)