Swali: Bora ni kuzitia mvi rangi nyingine isiyokuwa nyeusi au kiziacha zilivyo?
Jibu: Bora ni kuzibadilisha. Akiziacha hakuna neno pia. Maswahabah miongoni mwao wako ambao waliacha mvi, jambo ambalo linajulisha kuwa si lazima. Walichokuwa wanata kuonyesha ni kwamba kitendo hicho kinafaa. Sisi tumekutana na Shaykh Muhammad bin Ibraahiym na Shaykh Ibn Humayd na wote hawakugeuza mvi.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Ighaathat-il-Lahfaan (104) https://www.alfawzan. af.org.sa/sites/default/files/13-03-1441%D9%87%D9%80~1_0.mp3
- Imechapishwa: 29/12/2020
Swali: Bora ni kuzitia mvi rangi nyingine isiyokuwa nyeusi au kiziacha zilivyo?
Jibu: Bora ni kuzibadilisha. Akiziacha hakuna neno pia. Maswahabah miongoni mwao wako ambao waliacha mvi, jambo ambalo linajulisha kuwa si lazima. Walichokuwa wanata kuonyesha ni kwamba kitendo hicho kinafaa. Sisi tumekutana na Shaykh Muhammad bin Ibraahiym na Shaykh Ibn Humayd na wote hawakugeuza mvi.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Ighaathat-il-Lahfaan (104) https://www.alfawzan. af.org.sa/sites/default/files/13-03-1441%D9%87%D9%80~1_0.mp3
Imechapishwa: 29/12/2020
https://firqatunnajia.com/hawakuzipata-rangi-mvi/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)