Swali: Kuna ambao wanawafanya watu wazipuuze Hadiyth Swahiyh zinazoshaji´isha kumsikiliza na kumtii mtawala wa waislamu na kuwatuhumu wale wanaolingania kwazo ya kwamba ni miongoni mwa watiifu waliopindukia. Unasemaje juu ya hilo?
Jibu: Wanazingatiwa ni katika Khawaarij. Khawaarij ni pote lililokoseshwa nusura na Allaah (´Azza wa Jall). Hawajawahi kusimama. Maneno haya hayatuhusu.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: http://www.sahab.net/forums/index.php?showtopic=162071
- Imechapishwa: 11/03/2017
Swali: Kuna ambao wanawafanya watu wazipuuze Hadiyth Swahiyh zinazoshaji´isha kumsikiliza na kumtii mtawala wa waislamu na kuwatuhumu wale wanaolingania kwazo ya kwamba ni miongoni mwa watiifu waliopindukia. Unasemaje juu ya hilo?
Jibu: Wanazingatiwa ni katika Khawaarij. Khawaarij ni pote lililokoseshwa nusura na Allaah (´Azza wa Jall). Hawajawahi kusimama. Maneno haya hayatuhusu.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: http://www.sahab.net/forums/index.php?showtopic=162071
Imechapishwa: 11/03/2017
https://firqatunnajia.com/hawa-ndio-wawafanyao-watu-kuzipuuza-hadiyth-zinazoshajiisha-utiifu/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)