Swali: Maneno ya mtenda dhambi wakati anapokatazwa:
”Mimi niko huru katika matendo yangu?”
Jibu: Hili ni kosa. Tunamwambia kuwa hayuko huru katika kumuasi Allaah. Bali unapomuasi Allaah basi umetoka katika ule utumwa ambao unadai wa kumuabudia Allaah na kwenda katika utumwa wa shaytwaan na matamanio.
- Mhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: al-Manaahiy al-Lafdhwiyyah, uk. 25
- Imechapishwa: 01/07/2022
Swali: Maneno ya mtenda dhambi wakati anapokatazwa:
”Mimi niko huru katika matendo yangu?”
Jibu: Hili ni kosa. Tunamwambia kuwa hayuko huru katika kumuasi Allaah. Bali unapomuasi Allaah basi umetoka katika ule utumwa ambao unadai wa kumuabudia Allaah na kwenda katika utumwa wa shaytwaan na matamanio.
Mhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: al-Manaahiy al-Lafdhwiyyah, uk. 25
Imechapishwa: 01/07/2022
https://firqatunnajia.com/hauko-huru-katika-kumuasi-allaah/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)