Swali: Tamthili za kidini na Anaashiyd zinawaidhisha mioyo?
Jibu: Hapana. Zinasababisha ughafilikaji. Mambo haya sio katika njia za Da´wah. Da´wah inakuwa kwa mawaidha, Qur-aan na Sunnah na mfumo uliotendewa kazi na Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam), Maswahabah zake na walinganizi wakweli. Hatuhitajii mambo haya.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Muhadhara: Waswiyyat-un-Nabiy http://alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/wasiyah%20nabi-21-11-1436-01.mp3
- Imechapishwa: 14/07/2018
Swali: Tamthili za kidini na Anaashiyd zinawaidhisha mioyo?
Jibu: Hapana. Zinasababisha ughafilikaji. Mambo haya sio katika njia za Da´wah. Da´wah inakuwa kwa mawaidha, Qur-aan na Sunnah na mfumo uliotendewa kazi na Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam), Maswahabah zake na walinganizi wakweli. Hatuhitajii mambo haya.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Muhadhara: Waswiyyat-un-Nabiy http://alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/wasiyah%20nabi-21-11-1436-01.mp3
Imechapishwa: 14/07/2018
https://firqatunnajia.com/hatuhitajii-tamthili-wala-anaashiyd/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)