Swali: Nasikiliza Qur-aan kwenye redio na TV. Je, inajuzu kuizima katikati ya Aayah au ni lazima niizime baada ya Aayah kwisha?

Jibu: Bora ni kuzima baada ya Aayah kumalizika. Ndio bora zaidi.

  • Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
  • Mfasiri: Firqatunnajia.com
  • Marejeo: Sharh Ighaathat-il-Lahfaan (66) http://alfawzan.af.org.sa/node/16524
  • Imechapishwa: 13/08/2017