201- Nimemsikia baba yangu akisema: ´Aashah (Radhiya Allaahu ´anhaa) amesema:
“Kila umanjano na uchafuchafu anauona mwanamke wakati wa ada yake ya mwezi ni katika ada yake mpaka pale atakapoona mtiririko mweupe.”
202- Baba yangu amenihadithia: Muhammad bin Ja´far ametuhadithia: Sa´iyd ametuhadithia, kutoka kwa Qataadah, kutoka kwa Hafswah, kutoka kwa Umm´ Atwiyyah al-Answaariyyah (Radhiya Allaahu ´anhaa) ambaye amesema:
“Tulikuwa hatuzingatii umanjano na uchafu baada ya kutwaharika kuwa ni kitu.”[1]
[1] Abu Daawuud (307).
- Mhusika: Imaam ´Abdullaah bin Ahmad bin Hanbal
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Masaa-il-ul-Imaam Ahmad (1/143)
- Imechapishwa: 14/04/2021
201- Nimemsikia baba yangu akisema: ´Aashah (Radhiya Allaahu ´anhaa) amesema:
“Kila umanjano na uchafuchafu anauona mwanamke wakati wa ada yake ya mwezi ni katika ada yake mpaka pale atakapoona mtiririko mweupe.”
202- Baba yangu amenihadithia: Muhammad bin Ja´far ametuhadithia: Sa´iyd ametuhadithia, kutoka kwa Qataadah, kutoka kwa Hafswah, kutoka kwa Umm´ Atwiyyah al-Answaariyyah (Radhiya Allaahu ´anhaa) ambaye amesema:
“Tulikuwa hatuzingatii umanjano na uchafu baada ya kutwaharika kuwa ni kitu.”[1]
[1] Abu Daawuud (307).
Mhusika: Imaam ´Abdullaah bin Ahmad bin Hanbal
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Masaa-il-ul-Imaam Ahmad (1/143)
Imechapishwa: 14/04/2021
https://firqatunnajia.com/hapa-ndipo-rangi-ya-zambarau-inakuwa-hedhi/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)