Swali: Ni ipi maana ya maneno ya wanachuoni “Maoni ya Swahabah ni hoja”? Je, mtu anapata dhambi kwa kutofautiana na maoni ya Swahabah ikiwa maoni hayo hayaendi kinyume na dalili?
Jibu: Maoni ya Swahabah ni hoja ikiwa hakuna Swahabah mwengine mwenye kuonelea kinyume. Sharti nyingine ni kwamba maoni hayo yasiwe ni yenye kwenda kinyume na Qur-aan na Sunnah. Katika hali hiyo maoni ya Swahabah ni yenye kuzingatiwa ikiwa hakuna Swahabah mwengine mwenye kuonelea kinyume.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Tafsiyr-ish-Shaykh Muhammad bin ´Abdil-Wahhaab (23) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/tafsirayat-12-07-1435-01_0.mp3
- Imechapishwa: 18/05/2018
Swali: Ni ipi maana ya maneno ya wanachuoni “Maoni ya Swahabah ni hoja”? Je, mtu anapata dhambi kwa kutofautiana na maoni ya Swahabah ikiwa maoni hayo hayaendi kinyume na dalili?
Jibu: Maoni ya Swahabah ni hoja ikiwa hakuna Swahabah mwengine mwenye kuonelea kinyume. Sharti nyingine ni kwamba maoni hayo yasiwe ni yenye kwenda kinyume na Qur-aan na Sunnah. Katika hali hiyo maoni ya Swahabah ni yenye kuzingatiwa ikiwa hakuna Swahabah mwengine mwenye kuonelea kinyume.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Tafsiyr-ish-Shaykh Muhammad bin ´Abdil-Wahhaab (23) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/tafsirayat-12-07-1435-01_0.mp3
Imechapishwa: 18/05/2018
https://firqatunnajia.com/hapa-ndipo-maoni-ya-swahabah-yanazingatiwa/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)