Swali: Je, ni sahihi kwamba mtu akichelewesha Minaa mpaka siku ya 13 Dhul-Hijjah basi hakuna neno akarusha vijiwe kwenye nguzo kabla ya Dhuhr siku hiyohiyo?
Jibu: Hapana. Siku zote za Tashriyq hakuna kurusha vijiwe isipokuwa baada ya kuingia Dhuhr. Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) alichelewa Minaa mpaka siku ya tarehe 13 na akarusha vijiwe kwenye nguzo baada ya kuingia kwa Dhuhr.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (23) https://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/Umdah-13-2-1435-01.mp3
- Imechapishwa: 03/04/2020
Swali: Je, ni sahihi kwamba mtu akichelewesha Minaa mpaka siku ya 13 Dhul-Hijjah basi hakuna neno akarusha vijiwe kwenye nguzo kabla ya Dhuhr siku hiyohiyo?
Jibu: Hapana. Siku zote za Tashriyq hakuna kurusha vijiwe isipokuwa baada ya kuingia Dhuhr. Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) alichelewa Minaa mpaka siku ya tarehe 13 na akarusha vijiwe kwenye nguzo baada ya kuingia kwa Dhuhr.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (23) https://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/Umdah-13-2-1435-01.mp3
Imechapishwa: 03/04/2020
https://firqatunnajia.com/hapa-ndipo-kunarushwa-vijiwe-nguzoni/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)