Swali: Hadiyth yenye kusema:
”Yule mwenye kumwingilia mkewe kwenye tupu ya nyuma basi amejiweka mbali na yale yaliyoteremshwa kwa Muhammad.”
Je, yule mwenye kufanya hivo anakufuru?
Jibu: Haya ni matishio, makemeo makali. Kama anahalalisha kumwingilia mke wake kwenye tupu ya nyuma ni kafiri. Asipohalalisha kitendo hicho ni mtenda dhambi aliyefanya dhambi kubwa.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Fath-il-Majiyd (63) http://alfawzan.af.org.sa/ar/node/16641
- Imechapishwa: 20/02/2021
Swali: Hadiyth yenye kusema:
”Yule mwenye kumwingilia mkewe kwenye tupu ya nyuma basi amejiweka mbali na yale yaliyoteremshwa kwa Muhammad.”
Je, yule mwenye kufanya hivo anakufuru?
Jibu: Haya ni matishio, makemeo makali. Kama anahalalisha kumwingilia mke wake kwenye tupu ya nyuma ni kafiri. Asipohalalisha kitendo hicho ni mtenda dhambi aliyefanya dhambi kubwa.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Fath-il-Majiyd (63) http://alfawzan.af.org.sa/ar/node/16641
Imechapishwa: 20/02/2021
https://firqatunnajia.com/hapa-ndipo-jimaa-kwenye-tupu-ya-nyuma-ni-ukafiri-mkubwa/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)