Swali: Je, inajuzu kwa baba kugawa mirathi kwa watoto wakati bado yuko hai kwa kukhofia watoto wa kiume wasije kuwanyika watoto wa kike mirathi yao?
Jibu: Hakuna neno kwa kufanya hivo. Lakini asiwape sawa sawa. Anatakiwa kufanya uadilifu kati yao:
لِلذَّكَرِ مِثْلُ حَظِّ الْأُنثَيَيْنِ
“Mwanamume atastahiki mfano wa fungu la wanawake wawili.” (04:11)
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Duruus-ul-Haram http://www.alfawzan.af.org.sa/node/14819
- Imechapishwa: 28/06/2020
Swali: Je, inajuzu kwa baba kugawa mirathi kwa watoto wakati bado yuko hai kwa kukhofia watoto wa kiume wasije kuwanyika watoto wa kike mirathi yao?
Jibu: Hakuna neno kwa kufanya hivo. Lakini asiwape sawa sawa. Anatakiwa kufanya uadilifu kati yao:
لِلذَّكَرِ مِثْلُ حَظِّ الْأُنثَيَيْنِ
“Mwanamume atastahiki mfano wa fungu la wanawake wawili.” (04:11)
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Duruus-ul-Haram http://www.alfawzan.af.org.sa/node/14819
Imechapishwa: 28/06/2020
https://firqatunnajia.com/hapa-ndipo-itajuzu-kugawa-mirathi-kabla-ya-mtu-kufa/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)