Swali: Nchi hivi sasa Libya inawaita watu kuwapigia kura wagombea sitini ili kuamua katiba ya nchi…

Jibu: Nisikilize. Ikiwa katiba hii ni ya Kiislamu, basi inafaa kwa Salafiyyuun kushiriki ndani yake. Na ikiwa ndani yake kuna mambo ya uongo na mchezo, basi haifai kwao kufanya hivo.

  • Mhusika: ´Allaamah Rabiy´ bin Haadiy al-Madkhaliy
  • Mfasiri: Firqatunnajia.com
  • Marejeo: https://www.youtube.com/watch?v=_kr87CSp34s&feature=youtu.be
  • Imechapishwa: 18/10/2020